Sauti | Tilawa ya Hamidreza Ahmadi Vafa kutoka Sura Al-An’am
Tilawa ya Hamidreza Ahmadi Vafa, qari wa kimataifa wa Qur'ani Tukufu, kutoka aya za 160 hadi 165 za Sura Al-An’am, pamoja na aya za Sura An-Nasr, iliyotekelezwa katika mahfali wa Qurani katika Haram Tukufu ya Imamu Ridha (AS), inasambazwa hapa wa wafuatiliaji wa tovuti ya IQNA.